Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Amosi 2:16 - Swahili Revised Union Version

16 Naye mwenye moyo mkuu miongoni mwa mashujaa Atakimbia uchi siku ile, asema BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Siku hiyo, hata askari hodari watatimua mbio bila chochote. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Siku hiyo, hata askari hodari watatimua mbio bila chochote. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Siku hiyo, hata askari hodari watatimua mbio bila chochote. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Hata askari walio mashujaa sana siku hiyo watakimbia uchi,” asema Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Hata askari walio mashujaa sana siku hiyo watakimbia uchi,” asema bwana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Naye mwenye moyo mkuu miongoni mwa mashujaa Atakimbia uchi siku ile, asema BWANA.

Tazama sura Nakili




Amosi 2:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wametekwa wenye moyo thabiti; Wamelala usingizi; Wala hawakuiona mikono yao Watu wote walio hodari.


Miji imetwaliwa, ngome zimeshambuliwa, na mioyo ya mashujaa wa Moabu siku hiyo itakuwa kama moyo wa mwanamke akiwa katika uchungu wa kujifungua.


naye akaiacha ile nguo ya kitani, akakimbia akiwa uchi.


Lakini Sisera akakimbia kwa miguu, akaifikia hema ya Yaeli mkewe Heberi, Mkeni; kwa maana palikuwa na amani kati ya Yabini, mfalme wa Hazori, na nyumba ya Heberi, Mkeni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo