Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Amosi 2:13 - Swahili Revised Union Version

Tazameni, nitawalemea ninyi, Kama gari lilemeavyo lililojaa miganda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Sasa basi, nitawagandamiza mpaka chini, kama gari lililojaa nafaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Sasa basi, nitawagandamiza mpaka chini, kama gari lililojaa nafaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Sasa basi, nitawagandamiza mpaka chini, kama gari lililojaa nafaka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Sasa basi, nitawaponda kama gari linavyoponda likiwa limejazwa nafaka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Sasa basi, nitawaponda kama gari lipondavyo wakati limejazwa nafaka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tazameni, nitawalemea ninyi, Kama gari lilemeavyo lililojaa miganda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Amosi 2:13
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, sisi tulikuwa tukifunga miganda shambani, kumbe! Mganda wangu ukaondoka ukasimama, na tazama, miganda yenu ikazunguka ikainama mbele ya mganda wangu.


Je! Utamtumaini kwamba ataileta mbegu yako nyumbani. Na kukusanya nafaka ya kiwanja chako cha kupuria?


Walimwasi jangwani mara ngapi? Na kumhuzunisha nyikani!


Sikukuu zenu za mwezi mpya na karamu zenu zilizoamriwa, nafsi yangu yazichukia; mambo hayo yanilemea; nimechoka kuyachukua.


Hukuninunulia manukato kwa fedha, wala hukunishibisha kwa mafuta ya sadaka zako; bali umenitumikisha kwa dhambi zako, umenichosha kwa maovu yako.


Naye akasema, Sikilizeni sasa, enyi nyumba ya Daudi; Je! Ni neno dogo kwenu kuwachosha wanadamu, hata mkataka kumchosha Mungu wangu pia?


Kwa sababu hukuzikumbuka siku za ujana wako, bali umenikasirisha kwa mambo hayo yote; basi, tazama, mimi nami nitaleta matendo yako juu ya kichwa chako, asema Bwana MUNGU; wala hutafanya uasherati zaidi ya machukizo yako yote.


Na hao wa kwenu watakaookoka watanikumbuka kati ya mataifa, watakakochukuliwa mateka, jinsi nilivyoiponda mioyo yao ya kikahaba, iliyoniacha, na macho yao, yaendayo kufanya uasherati na vinyago vyao; nao watajichukia nafsi zao machoni pao wenyewe, kwa sababu ya mabaya yao yote, waliyoyatenda kwa machukizo yao yote.


Mmemchokesha BWANA kwa maneno yenu. Lakini ninyi mwasema, Tumemchokesha kwa maneno gani? Kwa kuwa mwasema, Kila atendaye mabaya ni mwema machoni pa BWANA, naye huwafurahia watu hao, au, Mungu mwenye haki yuko wapi?


nao wakamletea BWANA matoleo yao, magari sita yenye mafuniko juu, na ng'ombe kumi na wawili; gari moja kwa wakuu wawili wawili, na ng'ombe mmoja kwa kila mkuu; nao wakayasongeza hapo mbele ya maskani.