Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




3 Yohana 1:14 - Swahili Revised Union Version

Lakini natarajia kukuona karibuni, nasi tutasema uso kwa uso.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Natumaini kukuona karibuni na hapo tutazungumza ana kwa ana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Natumaini kukuona karibuni na hapo tutazungumza ana kwa ana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Natumaini kukuona karibuni na hapo tutazungumza ana kwa ana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Badala yake, nataraji kukuona upesi, nasi tutaongea pamoja ana kwa ana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Badala yake, nataraji kukuona upesi, nasi tutaongea pamoja ana kwa ana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini natarajia kukuona karibuni, nasi tutasema uso kwa uso.

Tazama sura
Tafsiri zingine



3 Yohana 1:14
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Amani iwe kwenu, msiogope; Mungu wenu, naye ni Mungu wa baba yenu, amewapa akiba katika magunia yenu; fedha zenu zilinifikia. Kisha akawatolea Simeoni kwao.


Mfalme Nebukadneza, kwa watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wanaokaa katika dunia yote; Amani iongezeke kwenu.


Bawabu humfungulia huyo, na kondoo humsikia sauti yake; naye huwaita kondoo wake kwa majina yao, na kuwapeleka nje.


Ikawa jioni, siku ile ya kwanza ya juma, pale walipokuwapo wanafunzi, milango imefungwa kwa hofu ya Wayahudi; akaja Yesu, akasimama katikati, akawaambia, Amani iwe kwenu.


Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawatuma ninyi.


Basi nasema, Nendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.


Amani na iwe kwa ndugu, na upendo, pamoja na imani, zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Bwana Yesu Kristo.


Salimianeni kwa busu la upendo. Amani na iwe kwenu nyote, mlio katika Kristo. Amina.


Kwa kuwa ninayo mambo mengi, sitaki kuyaandika kwa karatasi na wino; lakini natarajia kuja kwenu, na kusema nanyi uso kwa uso, ili furaha yetu iwe imetimizwa.