Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Yohana 1:8 - Swahili Revised Union Version

Jiangalieni nafsi zenu msiyapoteze mliyoyatenda, bali mpokee thawabu timilifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, jihadharini nyinyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishughulikia, bali mpate tuzo lenu kamili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, jihadharini nyinyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishughulikia, bali mpate tuzo lenu kamili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, jihadharini nyinyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishughulikia, bali mpate tuzo lenu kamili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jiangalieni nafsi zenu msiyapoteze mliyoyatenda, bali mpokee thawabu timilifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Yohana 1:8
20 Marejeleo ya Msalaba  

Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.


Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye.


Bali ninyi jihadharini; nimekwisha kuwaonya yote mbele.


Nanyi jihadharini nafsi zenu; maana watawapeleka ninyi mabarazani; na katika masinagogi mtapigwa; nanyi mtachukuliwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushuhuda kwao.


Akamwambia huyu naye, Wewe uwe juu ya miji mitano.


Akasema, Angalieni, msije mkadanganyika, kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ndiye; tena, Majira yamekaribia. Basi msiwafuate hao.


Naye avunaye hupokea mshahara, na kukusanya matunda kwa uzima wa milele, ili yeye apandaye na yeye avunaye wapate kufurahi pamoja.


na mwisho wa watu wote, alinitokea mimi, kama ni mtu aliyezaliwa si kwa wakati wake.


Kazi ya mtu aliyoijenga juu yake ikikaa, atapata thawabu.


Basi yeye apandaye, na yeye atiaye maji ni wamoja, lakini kila mtu atapata thawabu yake mwenyewe kulingana na taabu yake mwenyewe.


Mmepatikana na mateso makubwa namna hii bure? Ikiwa ni bure kweli.


Nawachelea, isiwe labda nimejitaabisha bure kwa ajili yenu.


Lakini, hapo tulipofika na tuende katika lilo hilo.


Lakini zikumbukeni siku za kwanza, ambazo, mlipokwisha kutiwa nuru, mlistahimili mashindano makubwa ya maumivu;


Basi msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kuu.


mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.


Naja upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtu akaitwaa taji yako.