Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Yohana 1:2 - Swahili Revised Union Version

kwa ajili ya hiyo kweli ikaayo ndani yetu, nayo itakuwa pamoja nasi hata milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kwa sababu ukweli unakaa nasi milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kwa sababu ukweli unakaa nasi milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kwa sababu ukweli unakaa nasi milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu ya ile kweli inayokaa ndani yetu, na ambayo itaendelea kukaa nasi milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa ajili ya hiyo kweli ikaayo ndani yetu, nayo itakuwa pamoja nasi hata milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Yohana 1:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;


Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lolote mtakalo nanyi mtatendewa.


Nami nafanya mambo yote kwa ajili ya Injili ili kuishiriki pamoja na wengine.


Kwa maana hatujihubiri wenyewe, bali Kristo Yesu ya kuwa ni Bwana; na sisi wenyewe kuwa tu watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.


Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.


nikiikumbuka imani uliyo nayo isiyo na unafiki, ambayo ilikaa kwanza katika nyanya yako Loisi, na katika mama yako Eunike, nami nasadiki wewe nawe unayo.


Kwa hiyo nitakuwa tayari kuwakumbusha hayo siku zote, ijapokuwa mnayajua na kuthibitishwa katika kweli mliyo nayo.


Tukisema kwamba hatuna dhambi, tunajidanganya wenyewe, wala kweli haimo ndani yetu.


Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mna nguvu, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, nanyi mmemshinda yule mwovu.


Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.