Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Yohana 1:2 - Swahili Revised Union Version

2 kwa ajili ya hiyo kweli ikaayo ndani yetu, nayo itakuwa pamoja nasi hata milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 kwa sababu ukweli unakaa nasi milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 kwa sababu ukweli unakaa nasi milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 kwa sababu ukweli unakaa nasi milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 kwa sababu ya ile kweli inayokaa ndani yetu, na ambayo itaendelea kukaa nasi milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 kwa ajili ya hiyo kweli ikaayo ndani yetu, nayo itakuwa pamoja nasi hata milele.

Tazama sura Nakili




2 Yohana 1:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;


Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lolote mtakalo nanyi mtatendewa.


Nami nafanya mambo yote kwa ajili ya Injili ili kuishiriki pamoja na wengine.


Kwa maana hatujihubiri wenyewe, bali Kristo Yesu ya kuwa ni Bwana; na sisi wenyewe kuwa tu watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.


Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.


nikiikumbuka imani uliyo nayo isiyo na unafiki, ambayo ilikaa kwanza katika nyanya yako Loisi, na katika mama yako Eunike, nami nasadiki wewe nawe unayo.


Kwa hiyo nitakuwa tayari kuwakumbusha hayo siku zote, ijapokuwa mnayajua na kuthibitishwa katika kweli mliyo nayo.


Tukisema kwamba hatuna dhambi, tunajidanganya wenyewe, wala kweli haimo ndani yetu.


Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mna nguvu, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, nanyi mmemshinda yule mwovu.


Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo