Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 6:3 - Swahili Revised Union Version

Mmoja wao akasema, Uwe radhi, basi nakusihi, uende pamoja na watumishi wako. Akajibu, Nitakwenda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mmoja wao akamwomba akisema, “Tafadhali uwe radhi uende na watumishi wako.” Naye akajibu, “Nitakwenda.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mmoja wao akamwomba akisema, “Tafadhali uwe radhi uende na watumishi wako.” Naye akajibu, “Nitakwenda.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mmoja wao akamwomba akisema, “Tafadhali uwe radhi uende na watumishi wako.” Naye akajibu, “Nitakwenda.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha mmoja wao akasema, “Je, tafadhali, huwezi kufuatana na watumishi wako?” Al-Yasa akajibu, “Nitakuja.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha mmoja wao akasema, “Je, tafadhali, huwezi kufuatana na watumishi wako?” Al-Yasa akajibu, “Nitakuja.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mmoja wao akasema, Uwe radhi, basi nakusihi, uende pamoja na watumishi wako. Akajibu, Nitakwenda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 6:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na mama yake yule mtoto akasema, Kama BWANA aishivyo, na roho yako iishivyo, sitakuacha. Basi akaondoka, akamfuata.


Naamani akasema, Uwe radhi, ukatwae talanta mbili. Akamsihi, akafunga talanta mbili za fedha ndani ya mifuko miwili, na mavazi mawili, akawatwika watumishi wake wawili; nao wakatangulia mbele yake wakiwa wameyabeba.


Basi twende mpaka Yordani, twakuomba, tutwae huko kila mtu mti mmoja, ili tujifanyie huko mahali pa kukaa. Akajibu, Haya! Nendeni.


Basi, akaenda pamoja nao. Nao walipofika Yordani, wakakata miti.


Sasa basi iweni radhi kuniangalia; Kwani hakika sitanena uongo usoni penu.


Naye akamwambia, Uso wako usipokwenda pamoja nami, usituchukue kutoka hapa.


Basi wakaketi, wakala na kunywa wote wawili pamoja; kisha baba yake mwanamke akamwambia huyo mtu, Uwe radhi, tafadhali, ukae usiku kucha, na moyo wako na ufurahi.


Baraka akamwambia, Kama utakwenda pamoja nami ndipo nitakwenda; bali kama huendi pamoja nami, mimi siendi.