Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 4:8 - Swahili Revised Union Version

8 Baraka akamwambia, Kama utakwenda pamoja nami ndipo nitakwenda; bali kama huendi pamoja nami, mimi siendi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Baraki akamwambia Debora, “Kama utakwenda pamoja nami, nitakwenda. Lakini usipokwenda pamoja nami, sitakwenda.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Baraki akamwambia Debora, “Kama utakwenda pamoja nami, nitakwenda. Lakini usipokwenda pamoja nami, sitakwenda.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Baraki akamwambia Debora, “Kama utakwenda pamoja nami, nitakwenda. Lakini usipokwenda pamoja nami, sitakwenda.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Baraka akamwambia, “Ukienda pamoja nami nitaenda, lakini usipoenda pamoja nami, sitaenda.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Baraka akamwambia, “Ukienda pamoja nami nitakwenda, lakini usipokwenda pamoja nami, sitakwenda.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Baraka akamwambia, Kama utakwenda pamoja nami ndipo nitakwenda; bali kama huendi pamoja nami, mimi siendi.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 4:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitakuvutia Sisera, kamanda wa jeshi la Yabini, hadi mto wa Kishoni, pamoja na magari yake, na wingi wa watu wake; nami nitamtia mkononi mwako.


Basi akasema, Hakika nitakwenda pamoja nawe, lakini safari utakayoiendea haitakupatia heshima wewe; maana BWANA atamwuza Sisera katika mkono wa mwanamke. Debora akainuka, akaenda pamoja na Baraka mpaka Kedeshi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo