Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 4:3 - Swahili Revised Union Version

Akasema, Nenda, ukaazime vyombo huko nje kwa jirani zako wote, vyombo vitupu; wala usiazime vichache.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Elisha akamwambia, “Nenda kwa jirani zako uazime vyombo vitupu vingi kadiri utakavyopata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Elisha akamwambia, “Nenda kwa jirani zako uazime vyombo vitupu vingi kadiri utakavyopata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Elisha akamwambia, “Nenda kwa jirani zako uazime vyombo vitupu vingi kadiri utakavyopata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Al-Yasa akasema, “Zunguka kwa majirani zako wote ukaombe vyombo vitupu. Usiombe vichache.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Al-Yasa akasema, “Zunguka kwa majirani zako wote ukaombe vyombo vitupu. Usiombe vichache.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Nenda, ukaazime vyombo huko nje kwa jirani zako wote, vyombo vitupu; wala usiazime vichache.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 4:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, BWANA asema hivi, Fanyeni bonde hili lijae mahandaki.


Elisha akamwambia, Nikufanyie nini? Niambie; una kitu gani nyumbani? Akasema, Mimi mjakazi wako sina kitu nyumbani, ila chupa ya mafuta.


Kisha uingie ndani, ukajifungie mlango wewe na wanao, ukavimiminie mafuta vyombo vile vyote; navyo vilivyojaa ukavitenge.


Mimi ndimi BWANA, Mungu wako, Niliyekupandisha toka nchi ya Misri; Fumbua sana kinywa chako nami nitakijaza.


Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu, Wala Israeli hawakunitaka.


Hata sasa hamjaomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.


Yesu akawaambia, Jalizeni mabalasi maji. Nao wakayajaliza mpaka juu.