Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 6:23 - Swahili Revised Union Version

Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi Mikali binti Shauli hakuwa na mtoto mpaka kufa kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi Mikali binti Shauli hakuwa na mtoto mpaka kufa kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi Mikali binti Shauli hakuwa na mtoto mpaka kufa kwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye Mikali binti Sauli hakuwa na watoto hadi siku ya kufa kwake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye Mikali binti Sauli hakuwa na watoto mpaka siku ya kufa kwake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 6:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha nitakuwa hafifu zaidi, nami nitakuwa mnyonge machoni pangu mimi mwenyewe; lakini kwa wale vijakazi uliowanena, kwao nitaheshimiwa.


Ikawa, mfalme alipokuwa akikaa katika nyumba yake, hapo BWANA alipomstarehesha, asiudhiwe na adui zake waliomzunguka pande zote,


Na yeye BWANA wa majeshi akafunua haya masikioni mwangu, Ni kweli, uovu huu hautatakaswa wala kuwatokeni hata mfe; asema Bwana, BWANA wa majeshi.


Na siku hiyo wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.


Naye Efraimu, utukufu wake utarukia mbali kama ndege, uzazi hautakuwako, wala aliye na mimba, wala achukuaye mimba.


asimjue kamwe hadi alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake YESU.


Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.


Wala Samweli hakuenda tena kuonana na Sauli hata siku ya kufa kwake; lakini Samweli alikuwa akimlilia Sauli; naye BWANA akaghairi ya kuwa amemtawaza Sauli awe mfalme juu ya Israeli.