2 Samueli 7:1 - Swahili Revised Union Version1 Ikawa, mfalme alipokuwa akikaa katika nyumba yake, hapo BWANA alipomstarehesha, asiudhiwe na adui zake waliomzunguka pande zote, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Wakati mfalme Daudi alipokuwa akikaa katika ikulu, naye Mwenyezi-Mungu amemuwezesha kuwa na amani na adui zake kila upande, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Wakati mfalme Daudi alipokuwa akikaa katika ikulu, naye Mwenyezi-Mungu amemuwezesha kuwa na amani na adui zake kila upande, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Wakati mfalme Daudi alipokuwa akikaa katika ikulu, naye Mwenyezi-Mungu amemuwezesha kuwa na amani na adui zake kila upande, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Baada ya mfalme kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, naye Mwenyezi Mungu akiwa amempa amani pande zote kutoka kwa adui zake, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Baada ya mfalme kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, naye bwana akiwa amemstarehesha pande zote mbali na adui zake, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Ikawa, mfalme alipokuwa akikaa katika nyumba yake, hapo BWANA alipomstarehesha, asiudhiwe na adui zake waliomzunguka pande zote, Tazama sura |