Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 6:1 - Swahili Revised Union Version

Basi Daudi akakusanya tena wateule wote wa Israeli, watu elfu thelathini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa mara nyingine, Daudi aliwakusanya wale askari bora wa Israeli, jumla yao 30,000.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa mara nyingine, Daudi aliwakusanya wale askari bora wa Israeli, jumla yao 30,000.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa mara nyingine, Daudi aliwakusanya wale askari bora wa Israeli, jumla yao 30,000.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tena Daudi akakusanya vijana wenye uwezo wote wa Israeli: watu elfu thelathini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tena Daudi akakusanya watu 30,000 wa Israeli waliochaguliwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Daudi akakusanya tena wateule wote wa Israeli, watu elfu thelathini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 6:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

isipokuwa hivyo walivyokula vijana, na sehemu za watu waliokwenda nami, yaani, Aneri, na Eshkoli, na Mamre; na watwae wao sehemu zao.


Ndipo watu wa kabila zote za Israeli wakamwendea Daudi huko Hebroni, wakasema naye, wakinena, Tazama, sisi tu mfupa wako na nyama yako.


Ndipo Sulemani alipowakusanya wazee wa Israeli, na wakuu wote wa makabila na wakuu wa koo za wana wa Israeli, wamwendee mfalme Sulemani huko Yerusalemu, ili walipandishe sanduku la Agano la BWANA kutoka mji wa Daudi, yaani, Sayuni.


Basi Daudi akawakusanya Israeli wote, toka Shihori, kijito cha Misri, hadi pa kuingilia Hamathi, ili walilete sanduku la Mungu kutoka Kiriath-yearimu.