Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 23:39 - Swahili Revised Union Version

na Uria, Mhiti; idadi yao ilikuwa watu thelathini na saba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na Uria, Mhiti. Wote pamoja walikuwa mashujaa thelathini na saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na Uria, Mhiti. Wote pamoja walikuwa mashujaa thelathini na saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na Uria, Mhiti. Wote pamoja walikuwa mashujaa thelathini na saba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na Uria Mhiti. Jumla yao wote walikuwa watu thelathini na saba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na Uria, Mhiti. Jumla yao wote walikuwa watu thelathini na saba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Uria, Mhiti; idadi yao ilikuwa watu thelathini na saba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 23:39
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Daudi akatuma mtu akauliza habari za yule mwanamke. Mtu mmoja akasema, Je! Huyu siye Bathsheba, binti Eliamu, mkewe Uria, Mhiti?


Kwa nini umelidharau neno la BWANA, na kufanya yaliyo mabaya machoni pake? Umempiga Uria, Mhiti, kwa upanga, nawe umemtwaa mkewe awe mke wako, nawe umemwua huyo kwa upanga wa Waamoni.


kwa sababu Daudi alifanya yaliyo mema machoni pa BWANA, wala hakukosa katika yote aliyomwamuru, siku zote za maisha yake, isipokuwa kuhusu Uria, Mhiti.


Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Alai;


Yese akamzaa mfalme Daudi. Daudi akamzaa Sulemani kwa yule mke wa Uria;


Ndipo Daudi akajibu, akamwambia Ahimeleki, Mhiti, na Abishai, mwana wa Seruya, ndugu yake Yoabu, akisema, Ni nani atakayeshuka pamoja nami kwa Sauli kambini? Abishai akasema, Mimi nitashuka pamoja nawe.