Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 17:3 - Swahili Revised Union Version

na hao watu wote nitawarejesha kwako; kama bibi arusi anavyorudi nyumbani kwa mumewe. Kurudi kwa yule mtu umtafutaye ni kana kurudi kwa wote; maana watu wote watakuwa katika amani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na kuwarudisha watu wengine wote kwako kama bibiarusi anavyokwenda nyumbani kwa mumewe. Wewe unayatafuta maisha ya mtu mmoja tu; na watu wengine watakuwa na amani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na kuwarudisha watu wengine wote kwako kama bibiarusi anavyokwenda nyumbani kwa mumewe. Wewe unayatafuta maisha ya mtu mmoja tu; na watu wengine watakuwa na amani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na kuwarudisha watu wengine wote kwako kama bibiarusi anavyokwenda nyumbani kwa mumewe. Wewe unayatafuta maisha ya mtu mmoja tu; na watu wengine watakuwa na amani.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na kuwarudisha watu wote kwako. Kifo cha mtu yule unayemtafuta kitamaanisha kurudi kwa wote, hakuna hata mtu mmoja atakayeumizwa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na kuwarudisha watu wote kwako. Kifo cha mtu yule unayemtafuta kitamaanisha kurudi kwa wote, hakuna hata mtu mmoja atakayeumizwa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na hao watu wote nitawarejesha kwako; kama bibi harusi anavyorudi nyumbani kwa mumewe. Kurudi kwa yule mtu umtafutaye ni kama kurudi kwa wote; maana watu wote watakuwa katika amani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 17:3
6 Marejeleo ya Msalaba  

Shauri hili likawa jema machoni pa Absalomu, na machoni pa wazee wote wa Israeli.


Kisha Abneri akamwambia Daudi, Nitaondoka, niende zangu; nami nitamkusanyia bwana wangu mfalme Israeli wote, ili wafanye agano nawe, ukamiliki juu ya wote inaowatamani roho yako. Basi Daudi akamruhusu Abneri; naye akaenda zake kwa amani.


Hapana amani kwa waovu, asema BWANA.


Hapana amani kwa waovu; asema Mungu wangu.


Wameliponya jeraha la watu wangu kwa juu juu tu, wakisema, Amani, Amani, wala hapana amani.


Wakati wasemapo, Kuna amani na salama, ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafla, kama vile uchungu umjiavyo mwenye mimba, wala hakika hawataokolewa.