Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 15:33 - Swahili Revised Union Version

Daudi akamwambia, Ukienda mbele pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Daudi akamwambia, “Kama ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Daudi akamwambia, Ukienda mbele pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 15:33
2 Marejeleo ya Msalaba  

lakini ukirudi mjini, na kumwambia Absalomu, Nitakuwa mtumishi wako, Ee mfalme; kama vile nilivyokuwa mtumishi wa baba yako tokea zamani, ndivyo nitakavyokuwa mtumishi wako sasa; ndipo utayavunja mashauri ya Ahithofeli kwa ajili yangu.


Sasa nina miaka themanini; nami je! Naweza kupambanua mema na mabaya? Mimi mtumishi wako, je! Naweza kuonja nilacho au ninywacho? Naweza kusikia tena sauti ya waimbaji wa kiume na wa kike? Kwa nini basi mtumishi wako azidi kumlemea bwana wangu mfalme?