Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 15:33 - Swahili Revised Union Version

33 Daudi akamwambia, Ukienda mbele pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Daudi akamwambia, “Kama ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Daudi akamwambia, Ukienda mbele pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu;

Tazama sura Nakili




2 Samueli 15:33
2 Marejeleo ya Msalaba  

lakini ukirudi mjini, na kumwambia Absalomu, Nitakuwa mtumishi wako, Ee mfalme; kama vile nilivyokuwa mtumishi wa baba yako tokea zamani, ndivyo nitakavyokuwa mtumishi wako sasa; ndipo utayavunja mashauri ya Ahithofeli kwa ajili yangu.


Sasa nina miaka themanini; nami je! Naweza kupambanua mema na mabaya? Mimi mtumishi wako, je! Naweza kuonja nilacho au ninywacho? Naweza kusikia tena sauti ya waimbaji wa kiume na wa kike? Kwa nini basi mtumishi wako azidi kumlemea bwana wangu mfalme?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo