Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 11:5 - Swahili Revised Union Version

Yule mwanamke akachukua mimba; basi akapeleka habari na kumwambia Daudi, akasema, Ni mja mzito.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanamke huyo akapata mimba, naye akatuma habari kwa Daudi kuwa ana mimba yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanamke huyo akapata mimba, naye akatuma habari kwa Daudi kuwa ana mimba yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanamke huyo akapata mimba, naye akatuma habari kwa Daudi kuwa ana mimba yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huyo mwanamke akapata mimba akampelekea Daudi ujumbe, kusema, “Mimi ni mjamzito.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huyo mwanamke akapata mimba akampelekea Daudi ujumbe, kusema, “Mimi ni mjamzito.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yule mwanamke akachukua mimba; basi akapeleka habari na kumwambia Daudi, akasema, Ni mja mzito.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 11:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Daudi akapeleka habari kwa Yoabu, akisema, Mtume kwangu Uria, Mhiti. Naye Yoabu akamtuma Uria kwa Daudi.


Maana wivu ni ghadhabu ya mtu; Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi.


Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.


Akifumaniwa mtu mume amelala na mwanamke aliyeolewa na mume, na wafe wote wawili, mtu mume aliyelala na mwanamke, na yule mwanamke naye; ndivyo utakavyoondoa uovu katika Israeli.