Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Yohana 5:8 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana wako watatu washuhudiao [mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Roho, maji na damu; na ushahidi wa hawa watatu waafikiana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Roho, maji na damu; na ushahidi wa hawa watatu waafikiana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Roho, maji na damu; na ushahidi wa hawa watatu waafikiana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pia wako mashahidi watatu duniani]: hao ni Roho, Maji na Damu; hawa watatu wanakubaliana katika umoja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pia wako mashahidi watatu duniani]: Roho, Maji na Damu; hawa watatu wanakubaliana katika umoja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana wako watatu washuhudiao [mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Yohana 5:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;


Kwa maana wengi walimshuhudia uongo, lakini ushuhuda wao haukupatana.


Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia.


lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji.


Na maneno ya manabii yapatana na hayo, kama ilivyoandikwa,


Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu;


naye ndiye aliyetutia mhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu.


Kwa ajili hii Yesu naye, ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa nje ya lango.


Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu,


Mfano wa mambo hayo ni ubatizo, unaowaokoa ninyi pia siku hizi; (siyo kuwekea mbali uchafu wa mwili, bali jibu la dhamiri safi mbele za Mungu), kwa kufufuka kwake Yesu Kristo.


Kisha wako watatu washuhudiao duniani], Roho, na maji, na damu; na watatu hawa hupatana kwa habari moja. Tukiupokea ushuhuda wa wanadamu, ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi; kwa maana ushuhuda wa Mungu ndio huu, kwamba amemshuhudia Mwanawe.