Yohana 19:34 - Swahili Revised Union Version34 lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Lakini askari mmoja alimtoboa ubavuni kwa mkuki, na mara ikatoka damu na maji. ( Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Lakini askari mmoja alimtoboa ubavuni kwa mkuki, na mara ikatoka damu na maji. ( Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Lakini askari mmoja alimtoboa ubavuni kwa mkuki, na mara ikatoka damu na maji. ( Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Badala yake mmoja wa wale askari akamchoma mkuki ubavuni, na mara pakatoka damu na maji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Badala yake mmoja wa wale askari akamchoma mkuki ubavuni na mara pakatoka damu na maji. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI34 lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji. Tazama sura |
Nami nitawamwagia watu wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, roho ya neema na kuomba; nao watamtazama yeye ambaye walimdunga; nao watamwombolezea, kama vile mtu amwombolezeavyo mwanawe wa pekee; nao wataona uchungu kwa ajili yake, kama vile mtu aonavyo uchungu kwa ajili ya mzaliwa wake wa kwanza.