Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 19:33 - Swahili Revised Union Version

33 Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Lakini walipomfikia Yesu, waliona kwamba alikwisha kufa, kwa hivyo hawakumvunja miguu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Lakini walipomfikia Yesu, waliona kwamba alikwisha kufa, kwa hivyo hawakumvunja miguu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Lakini walipomfikia Yesu, waliona kwamba alikwisha kufa, kwa hivyo hawakumvunja miguu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Lakini walipomkaribia Isa, wakaona ya kuwa amekwisha kufa, hivyo hawakuvunja miguu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Lakini walipomkaribia Isa, wakaona ya kuwa amekwisha kufa, hivyo hawakuvunja miguu yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu;

Tazama sura Nakili




Yohana 19:33
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akazipanga zile kuni, akamkata yule ng'ombe vipande vipande, akaviweka juu ya kuni. Akasema, Jazeni mapipa manne maji, mkayamwage juu ya sadaka ya kuteketezwa, na juu ya kuni.


Huihifadhi mifupa yake yote, Usivunjike hata mmoja.


Na aliwe ndani ya nyumba moja; usiichukue nje ya nyumba nyama yake yoyote; wala msivunje mfupa wake uwao wote.


Wakamcheka sana, maana walijua ya kuwa amekwisha kufa.


Basi askari wakaenda, wakamvunja miguu wa kwanza, na wa pili, aliyesulubiwa pamoja naye.


lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo