Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 10:5 - Swahili Revised Union Version

Lakini wengi sana katika wao, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini wengi sana katika wao, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 10:5
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo alipowainulia mkono wake na kuwaapia, Ya kuwa atawaangamiza jangwani,


Wewe, Bwana, umekuwa makao yetu, Kizazi baada ya kizazi.


Ndipo Nikaapa kwa hasira yangu Hawataingia katika pumziko langu.


Kama nilivyoteta na baba zenu katika jangwa la Misri, ndivyo nitakavyoteta nanyi, asema Bwana MUNGU.


kwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya wamenijaribu mara hizi kumi, wala hawakuisikiza sauti yangu;


watu hao walioileta habari mbaya ya nchi wakafa kwa tauni mbele ya BWANA.


Na siku tulizokuwa tukienda kutoka Kadesh-barnea hata tulipovuka kijito cha Zeredi, ilikuwa ni miaka thelathini na minane; maana, hata walipokwisha kuangamizwa watu wa vita kutoka kati ya kambi, kizazi chao chote, kama walivyoapiwa na BWANA.


Tena ni akina nani aliochukizwa nao miaka arubaini? Si wale waliokosa, ambao mizoga yao ilianguka katika jangwa?


Tena napenda kuwakumbusha, ijapokuwa mmekwisha kujua haya yote, ya kwamba Bwana, akiisha kuwaokoa watu katika nchi ya Misri, aliwaangamiza baadaye wale wasioamini.