Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 10:12 - Swahili Revised Union Version

Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anayedhani amesimama imara ajihadhari asianguke.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anayedhani amesimama imara ajihadhari asianguke.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anayedhani amesimama imara ajihadhari asianguke.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo, yeye ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo, yeye ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 10:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.


Mwanadamu mwenye kicho yu heri sikuzote; Bali mshupavu wa moyo ataangukia madhara.


Jiangalieni basi jinsi msikiavyo; kwa kuwa mwenye kitu atapewa, na yule asiye na kitu atanyang'anywa hata kile ambacho anadhaniwa kuwa nacho.


Vema. Yalikatwa kwa kutoamini kwao, na wewe wasimama kwa imani yako. Usijivune, bali uogope.


Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lolote bado, kama impasavyo kujua.


Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.


Basi, wapenzi kwa kuwa mmejua hayo, jihadharini msije mkapotoshwa na kosa la hao wahalifu mkaanguka na kuuacha uthabiti wenu.