Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 2:21 - Swahili Revised Union Version

Naye akasema, Nataka Adonia, ndugu yako, aozwe Abishagi, Mshunami.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akasema, “Mruhusu ndugu yako Adoniya amwoe Abishagi, huyo Mshunami.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akasema, “Mruhusu ndugu yako Adoniya amwoe Abishagi, huyo Mshunami.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akasema, “Mruhusu ndugu yako Adoniya amwoe Abishagi, huyo Mshunami.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akasema, “Mruhusu Abishagi, Mshunami, aolewe na ndugu yako Adoniya.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akasema, “Mruhusu Abishagi, Mshunami, aolewe na ndugu yako Adoniya.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye akasema, Nataka Adonia, ndugu yako, aozwe Abishagi, Mshunami.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 2:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakatafuta msichana mzuri katika nchi yote ya Israeli, wakamwona Abishagi, Mshunami, wakamleta kwa mfalme.


Naye msichana huyo alikuwa mzuri sana; akamtunza mfalme, akamtumikia; lakini mfalme hakumjua.