Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 1:4 - Swahili Revised Union Version

4 Naye msichana huyo alikuwa mzuri sana; akamtunza mfalme, akamtumikia; lakini mfalme hakumjua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Msichana huyo, alikuwa mzuri sana. Basi, akaanza kumtumikia na kumtunza mfalme; lakini mfalme hakulala naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Msichana huyo, alikuwa mzuri sana. Basi, akaanza kumtumikia na kumtunza mfalme; lakini mfalme hakulala naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Msichana huyo, alikuwa mzuri sana. Basi, akaanza kumtumikia na kumtunza mfalme; lakini mfalme hakulala naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Msichana huyo alikuwa mzuri sana wa sura. Akamtunza mfalme na kumhudumia, lakini mfalme hakufanya naye tendo la ndoa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Msichana huyo alikuwa mzuri sana wa sura, akamtunza mfalme na kumhudumia, lakini mfalme hakufanya naye tendo la ndoa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Naye msichana huyo alikuwa mzuri sana; akamtunza mfalme, akamtumikia; lakini mfalme hakumjua.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 1:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa alipokuwa karibu kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe, Tazama, najua ya kuwa u mwanamke mzuri wa uso;


Basi wakatafuta msichana mzuri katika nchi yote ya Israeli, wakamwona Abishagi, Mshunami, wakamleta kwa mfalme.


Ndipo Adonia mwana wa Hagithi akatakabari, akasema, Mimi nitakuwa mfalme. Akajiwekea tayari magari na wapanda farasi, na watu hamsini wapige mbio mbele yake.


Akasema, Nakusihi nena na Sulemani, mfalme (kwa kuwa hawezi kukukatalia neno), kwamba anioze Abishagi, Mshunami.


Naye akasema, Nataka Adonia, ndugu yako, aozwe Abishagi, Mshunami.


asimjue kamwe hadi alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake YESU.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo