Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 17:2 - Swahili Revised Union Version

Neno la BWANA likamjia, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Elia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Elia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Elia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha neno la Mwenyezi Mungu likamjia Ilya, kusema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha neno la bwana likamjia Ilya, kusema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno la BWANA likamjia, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 17:2
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini likaja neno la Mungu kwa Shemaya mtu wa Mungu, kusema,


Basi Eliya Mtishbi, wa wageni wa Gileadi, akamwambia Ahabu, Kama BWANA, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye ninasimama mbele zake, hakutakuwa na umande wala mvua miaka hii, ila kwa neno langu.


Ondoka hapa, geuka, uende upande wa mashariki, ujifiche karibu na kijito cha Kerithi kinachokabili Yordani.


Neno la BWANA likamjia, kusema,


Ikawa usiku uo huo, neno la Mungu likamjia Nathani, kusema,


Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,


Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,


Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,