Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 12:22 - Swahili Revised Union Version

22 Lakini likaja neno la Mungu kwa Shemaya mtu wa Mungu, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Lakini ujumbe wa Mungu ulimjia Shemaya, mtu wa Mungu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Lakini ujumbe wa Mungu ulimjia Shemaya, mtu wa Mungu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Lakini ujumbe wa Mungu ulimjia Shemaya, mtu wa Mungu:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Lakini neno la Mungu likamjia Shemaya mtu wa Mungu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Lakini neno hili la Mungu likamjia Shemaya mtu wa Mungu:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Lakini likaja neno la Mungu kwa Shemaya mtu wa Mungu, kusema,

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 12:22
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, akatoka mtu wa Mungu katika Yuda kwa neno la BWANA, akafika Betheli. Naye Yeroboamu alikuwa akisimama penye madhabahu, afukize uvumba.


Basi nabii mmoja mzee alikuwa akikaa katika Betheli; na wanawe wakamwendea wakamwambia kila neno alilolitenda yule mtu wa Mungu siku ile katika Betheli; na maneno aliyomwambia mfalme, hayo nayo walimwambia baba yao.


Akamwambia Eliya, Nina nini nawe, Ee mtu wa Mungu? Je! Umenijia ili dhambi yangu ikumbukwe, ukamwue mwanangu?


Mwanamke akamwambia Eliya, Sasa najua ya kuwa wewe ndiwe mtu wa Mungu, na ya kuwa neno la BWANA kinywani mwako ni kweli.


Akasema, Panapo wakati huu mwakani, utamkumbatia mwana. Akasema, La! Bwana wangu, wewe mtu wa Mungu, usiniambie mimi mjakazi wako uongo.


Kisha akamwita mumewe, akasema, Tafadhali, uniletee mtu mmoja wa watumishi, na punda mmoja, ili nimwendee yule mtu wa Mungu kwa haraka, na kurudi tena.


Basi akaenda, akafika kwa yule mtu wa Mungu, katika mlima wa Karmeli. Ikawa, yule mtu wa Mungu alipomwona kwa mbali, akamwambia Gehazi mtumishi wake, Tazama, Mshunami yule kule.


Naye alipofika kwa yule mtu wa Mungu kilimani, alimshika miguu. Gehazi akakaribia amwondoe; lakini mtu wa Mungu akamwambia, Mwache; maana roho yake ndani yake ina uchungu; na BWANA amenificha, wala hakuniambia.


Ndipo akaja akamwambia yule mtu wa Mungu. Naye akasema, Nenda ukayauze mafuta haya, uilipe deni yako; nayo yaliyosalia uyatumie wewe na watoto wako.


Ikawa, Elisha, yule mtu wa Mungu, aliposikia kwamba mfalme wa Israeli ameyararua mavazi yake, ndipo akatuma mtu kwa mfalme, akisema, Mbona umeyararua mavazi yako? Na aje sasa kwangu mimi, naye atajua ya kuwa yuko nabii katika Israeli.


Lakini neno la BWANA likamjia Shemaya mtu wa Mungu, kusema,


Basi mambo yake Rehoboamu, ya kwanza hadi za mwisho, je! Hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu Shemaya nabii na Ido mwonaji, kwa jinsi ya kuandika nasaba? Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu siku zote.


nikawaleta ndani ya nyumba ya BWANA, ndani ya chumba cha wana wa Hanani, mwana wa Igdalia, mtu wa Mungu, kilichokuwa karibu na chumba cha wakuu, nacho kilikuwa juu ya chumba cha Maaseya, mwana wa Shalumu, bawabu;


Hii ndiyo baraka ya Musa, huyo mtu wa Mungu, aliyowabarikia wana wa Israeli kabla ya kufa kwake.


Bali wewe, mtu wa Mungu, uyakimbie mambo hayo; ukafuate haki, utauwa, imani, upendo, subira, upole.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo