Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Timotheo 5:7 - Swahili Revised Union Version

Mambo hayo pia uyaagize, ili wasiwe na lawama.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wape watu maagizo haya pia, ili asiwepo yeyote wa kulaumiwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wape watu maagizo haya pia, ili asiwepo yeyote wa kulaumiwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mambo hayo pia uyaagize, ili wasiwe na lawama.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Timotheo 5:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

mpate kuwa wana wa Mungu wasio na lawama, wala udanganyifu, wasio na ila kati ya kizazi chenye ukaidi, kilichopotoka; ambao kati ya hao mnaonekana kuwa kama mianga katika ulimwengu,


Kama vile nilivyokusihi ukae Efeso, nilipokuwa nikisafiri kwenda Makedonia, ili uwakataze wengine wasifundishe elimu nyingine;


Mambo hayo uyaagize na kuyafundisha.


Walio matajiri wa ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune, wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa wingi ili tuvitumie kwa furaha.


Nakuagiza mbele za Mungu, na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu walio hai na waliokufa; kwa kufunuliwa kwake na kwa ufalme wake;


Ushuhuda huo ni kweli. Kwa sababu hiyo uwakemee kwa ukali, ili wapate kuwa wazima katika imani;


Nena mambo hayo, onya na kukaripia kwa mamlaka yote; asikudharau mtu awaye yote.