Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 4:11 - Swahili Revised Union Version

11 Mambo hayo uyaagize na kuyafundisha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mambo haya yaagize na kuyafundisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mambo haya yaagize na kuyafundisha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Mambo hayo uyaagize na kuyafundisha.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 4:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mambo hayo pia uyaagize, ili wasiwe na lawama.


Na wale walio na bwana waaminio wasiwadharau kwa kuwa ni ndugu; bali afadhali wawatumikie, kwa sababu hao wapatao faida ya kazi yao wamekuwa wenye imani na kupendwa. Mambo hayo uyafundishe na kuyahimiza.


lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.


Nena mambo hayo, onya na kukaripia kwa mamlaka yote; asikudharau mtu awaye yote.


Ni neno la kuaminiwa; na mambo hayo nataka uyasisitizie sana, ili wale waliomwamini Mungu wakumbuke kudumu katika matendo mema. Mambo hayo ni mazuri sana, tena yana manufaa kwa wanadamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo