Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Timotheo 1:8 - Swahili Revised Union Version

Lakini twajua ya kuwa sheria ni njema, kama mtu akiitumia kwa njia iliyo halali;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Twajua kwamba sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Twajua kwamba sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Twajua kwamba sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini twajua ya kuwa sheria ni njema, kama mtu akiitumia kwa njia iliyo halali;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Timotheo 1:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Tena ulishuka juu ya mlima Sinai, ukasema nao toka mbinguni, ukawapa hukumu za haki, na sheria za kweli, na amri nzuri na maagizo;


Wala msifuate kanuni za dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.


Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema.


Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema siwezi.


Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,


Basi je! Torati haipatani na ahadi za Mungu? La hasha! Kwa kuwa, kama ingalitolewa sheria iwezayo kuhuisha, hakika haki ingalipatikana kwa sheria.


Hata mwanariadha hapewi taji, asiposhindana kwa kufuata sheria.