Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 1:8 - Swahili Revised Union Version

8 Lakini twajua ya kuwa sheria ni njema, kama mtu akiitumia kwa njia iliyo halali;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Twajua kwamba sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Twajua kwamba sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Twajua kwamba sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Lakini twajua ya kuwa sheria ni njema, kama mtu akiitumia kwa njia iliyo halali;

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 1:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Tena ulishuka juu ya mlima Sinai, ukasema nao toka mbinguni, ukawapa hukumu za haki, na sheria za kweli, na amri nzuri na maagizo;


Wala msifuate kanuni za dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.


Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema.


Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema siwezi.


Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,


Basi je! Torati haipatani na ahadi za Mungu? La hasha! Kwa kuwa, kama ingalitolewa sheria iwezayo kuhuisha, hakika haki ingalipatikana kwa sheria.


Hata mwanariadha hapewi taji, asiposhindana kwa kufuata sheria.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo