Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 8:10 - Swahili Revised Union Version

Naye Samweli akawaambia wale watu waliotaka mfalme maneno yote ya BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo, Samueli akawaambia wale watu waliokuwa wanaomba wapewe mfalme maneno yote ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo, Samueli akawaambia wale watu waliokuwa wanaomba wapewe mfalme maneno yote ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo, Samueli akawaambia wale watu waliokuwa wanaomba wapewe mfalme maneno yote ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Samweli akawaambia wale watu waliokuwa wakiomba wapewe mfalme maneno yote ya Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Samweli akawaambia wale watu waliokuwa wakiomba wapewe mfalme maneno yote ya bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Samweli akawaambia wale watu waliotaka mfalme maneno yote ya BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 8:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa Yeremia alipokwisha kuwaambia watu wote maneno yote ya BWANA, Mungu wao, ambayo BWANA, Mungu wao, amemtuma kwao, yaani, maneno hayo yote,


Akasema, Mfalme atakayewatawala ninyi atakuwa na desturi hii; atatwaa wana wenu na kuwaweka kwake, katika magari yake, na kuwa wapanda farasi wake; nao watapiga mbio mbele ya magari yake.


Ndipo wazee wote wa Israeli wakakutana pamoja, wakamwendea Samweli huko Rama;