Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 6:1 - Swahili Revised Union Version

Basi, hilo sanduku la BWANA lilikuwamo katika nchi ya Wafilisti muda wa miezi saba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya sanduku la Mwenyezi-Mungu kukaa katika nchi ya Wafilisti kwa muda wa miezi saba,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya sanduku la Mwenyezi-Mungu kukaa katika nchi ya Wafilisti kwa muda wa miezi saba,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya sanduku la Mwenyezi-Mungu kukaa katika nchi ya Wafilisti kwa muda wa miezi saba,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sanduku la Mwenyezi Mungu lilipokuwa limekaa katika nchi ya Wafilisti kwa miezi saba,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sanduku la bwana lilipokuwa limekaa katika nchi ya Wafilisti kwa miezi saba,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, hilo sanduku la BWANA lilikuwamo katika nchi ya Wafilisti muda wa miezi saba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 6:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akaziacha nguvu zake kutekwa, Na fahari yake mkononi mwa mtesi.


Basi Wafilisti walikuwa wamelichukua sanduku la Mungu, wakaenda nalo kutoka Ebenezeri hadi Ashdodi.


Na wale wasiokufa walipigwa kwa yale majipu; na kilio cha mji kikafika mbinguni.


Na watu wa Ashdodi, walipoamka alfajiri siku ya pili, kumbe! Dagoni imeanguka chini kifudifudi, mbele ya sanduku la BWANA. Wakaitwaa Dagoni, wakaisimamisha mahali pake tena.


Nao Wafilisti wakawaita makuhani na waaguzi, wakasema, Tulifanyieje sanduku la BWANA? Tuonesheni jinsi tuwezavyo kulirudisha mahali pake.