Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 21:10 - Swahili Revised Union Version

Basi Daudi akaondoka, akakimbia siku ile, kwa hofu ya Sauli, akamwendea Akishi, mfalme wa Gathi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku hiyo, Daudi alimkimbia Shauli, akaenda kwa mfalme Akishi wa Gathi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku hiyo, Daudi alimkimbia Shauli, akaenda kwa mfalme Akishi wa Gathi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku hiyo, Daudi alimkimbia Shauli, akaenda kwa mfalme Akishi wa Gathi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku ile Daudi akamkimbia Sauli na kwenda kwa Akishi mfalme wa Gathi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku ile Daudi akamkimbia Sauli na kwenda kwa Akishi mfalme wa Gathi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Daudi akaondoka, akakimbia siku ile, kwa hofu ya Sauli, akamwendea Akishi, mfalme wa Gathi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 21:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipoona hayo, aliondoka, akaenda aihifadhi roho yake, akafika Beer-sheba, mji wa Yuda, akamwacha mtumishi wake huko.


Mungu, unirehemu, maana yuko atakaye kunimeza, Mchana kutwa ananionea akileta vita.


na Yehoyakimu, mfalme, na mashujaa wake wote, na wakuu wake wote, waliposikia maneno yake, mfalme akataka kumwua; lakini Uria alipopata habari, aliogopa, akakimbia akaenda Misri.


Naye Sauli na watu wa Israeli wakakusanyika, wakatua katika bonde la Ela, nao wakapanga vita juu ya hao Wafilisti.


Ndipo Daudi akapiga mbio, akasimama juu ya Mfilisti, akautwaa upanga wake, akaufuta alani mwake, akamwua, akamkata kichwa kwa upanga huo. Nao Wafilisti walipoona ya kuwa shujaa wao amekufa, wakakimbia.


Naye akamwuliza BWANA kwa ajili yake, akampa vyakula, akampa na ule upanga wa Goliathi, Mfilisti.