1 Samueli 21:10 - Swahili Revised Union Version10 Basi Daudi akaondoka, akakimbia siku ile, kwa hofu ya Sauli, akamwendea Akishi, mfalme wa Gathi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Siku hiyo, Daudi alimkimbia Shauli, akaenda kwa mfalme Akishi wa Gathi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Siku hiyo, Daudi alimkimbia Shauli, akaenda kwa mfalme Akishi wa Gathi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Siku hiyo, Daudi alimkimbia Shauli, akaenda kwa mfalme Akishi wa Gathi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Siku ile Daudi akamkimbia Sauli na kwenda kwa Akishi mfalme wa Gathi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Siku ile Daudi akamkimbia Sauli na kwenda kwa Akishi mfalme wa Gathi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Basi Daudi akaondoka, akakimbia siku ile, kwa hofu ya Sauli, akamwendea Akishi, mfalme wa Gathi. Tazama sura |