Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 21:10 - Swahili Revised Union Version

10 Basi Daudi akaondoka, akakimbia siku ile, kwa hofu ya Sauli, akamwendea Akishi, mfalme wa Gathi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Siku hiyo, Daudi alimkimbia Shauli, akaenda kwa mfalme Akishi wa Gathi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Siku hiyo, Daudi alimkimbia Shauli, akaenda kwa mfalme Akishi wa Gathi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Siku hiyo, Daudi alimkimbia Shauli, akaenda kwa mfalme Akishi wa Gathi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Siku ile Daudi akamkimbia Sauli na kwenda kwa Akishi mfalme wa Gathi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Siku ile Daudi akamkimbia Sauli na kwenda kwa Akishi mfalme wa Gathi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Basi Daudi akaondoka, akakimbia siku ile, kwa hofu ya Sauli, akamwendea Akishi, mfalme wa Gathi.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 21:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipoona hayo, aliondoka, akaenda aihifadhi roho yake, akafika Beer-sheba, mji wa Yuda, akamwacha mtumishi wake huko.


Mungu, unirehemu, maana yuko atakaye kunimeza, Mchana kutwa ananionea akileta vita.


na Yehoyakimu, mfalme, na mashujaa wake wote, na wakuu wake wote, waliposikia maneno yake, mfalme akataka kumwua; lakini Uria alipopata habari, aliogopa, akakimbia akaenda Misri.


Naye Sauli na watu wa Israeli wakakusanyika, wakatua katika bonde la Ela, nao wakapanga vita juu ya hao Wafilisti.


Ndipo Daudi akapiga mbio, akasimama juu ya Mfilisti, akautwaa upanga wake, akaufuta alani mwake, akamwua, akamkata kichwa kwa upanga huo. Nao Wafilisti walipoona ya kuwa shujaa wao amekufa, wakakimbia.


Naye akamwuliza BWANA kwa ajili yake, akampa vyakula, akampa na ule upanga wa Goliathi, Mfilisti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo