Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 20:38 - Swahili Revised Union Version

Yonathani akampigia mtoto kelele, Haya! Hima! Usikawie. Mtoto wa Yonathani akaikusanya mishale, akaenda kwa bwana wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Fanya haraka na usisimame tu mahali hapo.” Yule kijana alikusanya mishale na kumwendea bwana wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Fanya haraka na usisimame tu mahali hapo.” Yule kijana alikusanya mishale na kumwendea bwana wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Fanya haraka na usisimame tu mahali hapo.” Yule kijana alikusanya mishale na kumwendea bwana wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yonathani akampigia kelele, “Harakisha, nenda haraka! Usisimame!” Mvulana akaokota mshale na kurudi kwa bwana wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yonathani akampigia kelele, “Harakisha, nenda haraka! Usisimame!” Mvulana akaokota mshale na kurudi kwa bwana wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yonathani akampigia mtoto kelele, Haya! Hima! Usikawie. Mtoto wa Yonathani akaikusanya mishale, akaenda kwa bwana wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 20:38
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtoto alipofika penye ule mshale alioupiga Yonathani, Yonathani akampigia mtoto kelele, akasema, Je! Mshale si uko mbele yako?


Lakini yule mtoto hakujua lolote. Yonathani na Daudi ndio walioijua habari yenyewe.