Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 20:20 - Swahili Revised Union Version

Nami nitapiga mishale mitatu kandokando yake, kana kwamba ninapiga shabaha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi nitapiga mishale mitatu kandokando kana kwamba ninalenga shabaha fulani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi nitapiga mishale mitatu kandokando kana kwamba ninalenga shabaha fulani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi nitapiga mishale mitatu kandokando kana kwamba ninalenga shabaha fulani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitapiga mishale mitatu kando yake, kana kwamba nilienda kulenga shabaha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitapiga mishale mitatu kando yake, kama kwamba nilikwenda kulenga shabaha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nitapiga mishale mitatu kandokando yake, kana kwamba ninapiga shabaha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 20:20
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe ukingoja siku tatu, shuka upesi ufike kuko huko ulikojificha, siku ya shughuli ile; nawe kaa karibu na kile kichuguu kule.


Kisha, angalia, nitamtuma mtoto na kumwambia, Nenda ukaitafute mishale. Hapo nikimwambia yule mtoto, Tazama, mishale iko upande wako huu, itwae; basi uje, maana iko amani kwako, wala hapana hatari, BWANA aishivyo.


Akamwambia mtoto wake, Piga mbio, ukaitafute mishale niipigayo. Na yule mtoto alipokuwa akipiga mbio, akapiga mshale, ukapita juu yake.