1 Samueli 20:20 - Swahili Revised Union Version20 Nami nitapiga mishale mitatu kandokando yake, kana kwamba ninapiga shabaha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Mimi nitapiga mishale mitatu kandokando kana kwamba ninalenga shabaha fulani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Mimi nitapiga mishale mitatu kandokando kana kwamba ninalenga shabaha fulani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Mimi nitapiga mishale mitatu kandokando kana kwamba ninalenga shabaha fulani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Nitapiga mishale mitatu kando yake, kana kwamba nilienda kulenga shabaha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Nitapiga mishale mitatu kando yake, kama kwamba nilikwenda kulenga shabaha. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Nami nitapiga mishale mitatu kandokando yake, kana kwamba ninapiga shabaha. Tazama sura |