Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 18:2 - Swahili Revised Union Version

Sauli akamtwaa siku ile, wala hakumwacha arudi tena nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tangu siku hiyo, Shauli akamchukua Daudi nyumbani kwake, asimruhusu kurudi nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tangu siku hiyo, Shauli akamchukua Daudi nyumbani kwake, asimruhusu kurudi nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tangu siku hiyo, Shauli akamchukua Daudi nyumbani kwake, asimruhusu kurudi nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuanzia siku ile Sauli akamchukua Daudi naye hakumruhusu kurudi nyumbani mwa baba yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuanzia siku ile Sauli akamchukua Daudi naye hakumruhusu kurudi nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sauli akamtwaa siku ile, wala hakumwacha arudi tena nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 18:2
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili awalishe kondoo za baba yake huko Bethlehemu.


Basi Yonathani akamwita Daudi, naye Yonathani akamjulisha mambo hayo yote. Kisha Yonathani akamleta Daudi kwa Sauli, naye alikuwa akihudumu mbele yake, kama hapo awali.