Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 17:16 - Swahili Revised Union Version

Kwa siku arubaini yule Mfilisti alijitokeza na kusimama mbele asubuhi na jioni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa muda wa siku arubaini, asubuhi na jioni, yule Mfilisti Goliathi alijitokeza hadharani, akasimama na kuwakejeli wanajeshi wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa muda wa siku arubaini, asubuhi na jioni, yule Mfilisti Goliathi alijitokeza hadharani, akasimama na kuwakejeli wanajeshi wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa muda wa siku arubaini, asubuhi na jioni, yule Mfilisti Goliathi alijitokeza hadharani, akasimama na kuwakejeli wanajeshi wa Israeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa siku arobaini huyo Mfilisti alikuwa akija mbele kila siku asubuhi na jioni na kujionesha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa siku arobaini huyo Mfilisti alikuwa akija mbele kila siku asubuhi na jioni na kujionyesha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa siku arobaini yule Mfilisti alijitokeza na kusimama mbele asubuhi na jioni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 17:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akafunga siku arubaini mchana na usiku, mwishowe akaona njaa.


akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; na zilipotimia, aliona njaa.


Basi Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili awalishe kondoo za baba yake huko Bethlehemu.


Ndipo Yese akamwambia Daudi mwanawe, Haya! Sasa wapelekee ndugu zako efa ya bisi, na mikate hii kumi, ipeleke upesi kambini kwa ndugu zako;