Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 14:8 - Swahili Revised Union Version

Ndipo Yonathani akasema, Tazama, sisi tutavuka kwa watu hawa, na kujidhihirisha kwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yonathani akamwambia, “Tutavuka kuwaendea wale watu ili wapate kutuona.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yonathani akamwambia, “Tutavuka kuwaendea wale watu ili wapate kutuona.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yonathani akamwambia, “Tutavuka kuwaendea wale watu ili wapate kutuona.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yonathani akasema, “Basi njoo; tutavuka kuwaelekea hao watu na kuacha watuone.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yonathani akasema, “Basi njoo; tutavuka kuwaelekea hao watu na kuacha watuone.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Yonathani akasema, Tazama, sisi tutavuka kwa watu hawa, na kujidhihirisha kwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 14:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

Naye huyo mbebaji silaha akamjibu, Fanya yote yaliyomo moyoni mwako; angalia, mimi hapa ni pamoja nawe, moyo wangu ni kama moyo wako.


Nao wakituambia hivi, Ngojeni, hadi sisi tuwafikie; ndipo tusimame pale pale mahali petu, tusiwaendee.