Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 10:17 - Swahili Revised Union Version

Basi Samweli akawakusanya watu mbele za BWANA huko Mispa

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Samueli aliwaita watu wote wakusanyike mbele ya Mwenyezi-Mungu huko Mizpa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Samueli aliwaita watu wote wakusanyike mbele ya Mwenyezi-Mungu huko Mizpa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Samueli aliwaita watu wote wakusanyike mbele ya Mwenyezi-Mungu huko Mizpa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Samweli akawaita watu wa Israeli kuja kwa Mwenyezi Mungu huko Mispa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Samweli akawaita watu wa Israeli kuja kwa bwana huko Mispa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Samweli akawakusanya watu mbele za BWANA huko Mispa

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 10:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nimekupa mfalme katika hasira yangu, nikamwondoa katika ghadhabu yangu.


Ndipo Yeftha akaenda pamoja na wazee wa Gileadi, na hao watu wakamfanya awe kiongozi, tena mkuu, juu yao; naye Yeftha akanena maneno yake yote mbele ya BWANA huko Mispa.


Ndipo wana wa Israeli walipotoka; na mkutano ukakutanika kama mtu mmoja, kutoka Dani hadi Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi wakamkutanikia BWANA huko Mispa.


Nao watu wote wakaenda Gilgali; wakamtawaza Sauli mbele za BWANA huko Gilgali; wakachinja sadaka za amani mbele za BWANA; na huko Sauli na watu wote wa Israeli wakafurahi sana.


Naye huenda mwaka kwa mwaka kuzunguka mpaka Betheli, na Gilgali, na Mispa; akawaamua katika miji yote ya Israeli.