Zekaria 8:22 - Swahili Revised Union Version22 Naam, watu wa kabila nyingi na mataifa hodari watakuja Yerusalemu kumtafuta BWANA wa majeshi, na kuomba fadhili za BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Naam, mataifa yenye nguvu na watu wengi watakuja Yerusalemu kuniabudu mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi na kuniomba baraka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Naam, mataifa yenye nguvu na watu wengi watakuja Yerusalemu kuniabudu mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi na kuniomba baraka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Naam, mataifa yenye nguvu na watu wengi watakuja Yerusalemu kuniabudu mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi na kuniomba baraka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Pia watu wa kabila nyingi na mataifa yenye nguvu yatakuja Yerusalemu kumtafuta Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni na kumsihi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Pia watu wa kabila nyingi na mataifa yenye nguvu yatakuja Yerusalemu kumtafuta bwana Mwenye Nguvu Zote na kumsihi.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI22 Naam, watu wa kabila nyingi na mataifa hodari watakuja Yerusalemu kumtafuta BWANA wa majeshi, na kuomba fadhili za BWANA. Tazama sura |