Zekaria 8:20 - Swahili Revised Union Version20 BWANA wa majeshi asema hivi, Baadaye watakuja mataifa na wenyeji wa miji mingi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: “Watu wengi wa mataifa ya kigeni na wakazi wa miji mingi watamiminika mjini Yerusalemu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: “Watu wengi wa mataifa ya kigeni na wakazi wa miji mingi watamiminika mjini Yerusalemu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: “Watu wengi wa mataifa ya kigeni na wakazi wa miji mingi watamiminika mjini Yerusalemu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni: “Mataifa mengi na wakazi wa miji mingi watakuja, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Hili ndilo asemalo bwana Mwenye Nguvu Zote: “Mataifa mengi na wakazi wa miji mingi watakuja, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 BWANA wa majeshi asema hivi, Baadaye watakuja mataifa na wenyeji wa miji mingi; Tazama sura |