Zekaria 7:6 - Swahili Revised Union Version6 Na wakati mnapokula chakula na kunywa, je, Hamli kwa ajili ya nafsi zenu, na kunywa kwa ajili ya nafsi zenu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Je, mnapokula na kunywa, si mnakula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Je, mnapokula na kunywa, si mnakula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Je, mnapokula na kunywa, si mnakula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mnasherehekea kwa ajili ya nafsi zenu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mnasherehekea kwa ajili ya nafsi zenu? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Na wakati mnapokula chakula na kunywa, je, Hamli kwa ajili ya nafsi zenu, na kunywa kwa ajili ya nafsi zenu? Tazama sura |