Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zekaria 4:11 - Swahili Revised Union Version

11 Ndipo nikajibu, nikamwambia, Ni nini mizeituni hii miwili iliyo upande wa kulia wa kinara cha taa kile na upande wake wa kushoto?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Nami nikazidi kuuliza, “Je, hiyo miti miwili ya mizeituni iliyo upande wa kulia na wa kushoto wa kinara, inamaanisha nini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Nami nikazidi kuuliza, “Je, hiyo miti miwili ya mizeituni iliyo upande wa kulia na wa kushoto wa kinara, inamaanisha nini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Nami nikazidi kuuliza, “Je, hiyo miti miwili ya mizeituni iliyo upande wa kulia na wa kushoto wa kinara, inamaanisha nini?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kisha nikamuuliza yule malaika, “Hii mizeituni miwili iliyo upande wa kuume na wa kushoto wa kinara cha taa ni nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kisha nikamuuliza yule malaika, “Hii mizeituni miwili iliyoko upande wa kuume na wa kushoto wa kinara cha taa ni nini?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Ndipo nikajibu, nikamwambia, Ni nini mizeituni hii miwili iliyo upande wa kulia wa kinara cha taa kile na upande wake wa kushoto?

Tazama sura Nakili




Zekaria 4:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na kwa mara ya pili, nikamwuliza, Ni nini haya matawi mawili ya mizeituni, ambayo kwa njia ya ile mifereji miwili ya dhahabu hutoa mafuta yao?


na mizeituni miwili karibu yake, mmoja upande wa kulia wa lile bakuli, na mmoja upande wake wa kushoto.


Hao ndio ile mizeituni miwili na vile vinara viwili visimamavyo mbele za Bwana wa nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo