Zekaria 2:13 - Swahili Revised Union Version13 Nyamazeni, ninyi nyote wenye mwili, mbele za BWANA; kwa maana ameamka, na kutoka katika maskani yake takatifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Enyi wanadamu wote, nyamazeni mbele ya Mwenyezi-Mungu, maana, yeye anakuja kutoka makao yake matakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Enyi wanadamu wote, nyamazeni mbele ya Mwenyezi-Mungu, maana, yeye anakuja kutoka makao yake matakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Enyi wanadamu wote, nyamazeni mbele ya Mwenyezi-Mungu, maana, yeye anakuja kutoka makao yake matakatifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Tulieni mbele za Mwenyezi Mungu, enyi watu wote, kwa sababu ameinuka kutoka makao yake matakatifu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Tulieni mbele za bwana, enyi watu wote, kwa sababu ameinuka kutoka makao yake matakatifu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Nyamazeni, ninyi nyote wenye mwili, mbele za BWANA; kwa maana ameamka, na kutoka katika maskani yake takatifu. Tazama sura |