Zekaria 2:12 - Swahili Revised Union Version12 Na BWANA atairithi Yuda, iwe sehemu yake katika nchi takatifu, naye atachagua Yerusalemu tena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Watu wa Yuda watakuwa tena mali ya pekee ya Mwenyezi-Mungu katika nchi takatifu, na mji wa Yerusalemu utakuwa tena mji wake aliouchagua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Watu wa Yuda watakuwa tena mali ya pekee ya Mwenyezi-Mungu katika nchi takatifu, na mji wa Yerusalemu utakuwa tena mji wake aliouchagua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Watu wa Yuda watakuwa tena mali ya pekee ya Mwenyezi-Mungu katika nchi takatifu, na mji wa Yerusalemu utakuwa tena mji wake aliouchagua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Mwenyezi Mungu atairithi Yuda kama fungu lake katika nchi takatifu na atachagua tena Yerusalemu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 bwana atairithi Yuda kama fungu lake katika nchi takatifu na atachagua tena Yerusalemu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Na BWANA atairithi Yuda, iwe sehemu yake katika nchi takatifu, naye atachagua Yerusalemu tena. Tazama sura |