Zekaria 14:7 - Swahili Revised Union Version7 lakini itakuwa siku moja, iliyojulikana na BWANA; si mchana, wala si usiku; lakini itakuwa, ya kwamba wakati wa jioni kutakuwako nuru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mchana utaendelea bila giza kuingia. Wakati huo wajulikana kwa Mwenyezi-Mungu peke yake. Hakutakuwa mchana wala usiku, kwa maana hata saa za jioni mwanga utaendelea kuwapo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mchana utaendelea bila giza kuingia. Wakati huo wajulikana kwa Mwenyezi-Mungu peke yake. Hakutakuwa mchana wala usiku, kwa maana hata saa za jioni mwanga utaendelea kuwapo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mchana utaendelea bila giza kuingia. Wakati huo wajulikana kwa Mwenyezi-Mungu peke yake. Hakutakuwa mchana wala usiku, kwa maana hata saa za jioni mwanga utaendelea kuwapo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Itakuwa siku ya kipekee, isiyo na mchana wala usiku, siku ijulikanayo na Mwenyezi Mungu. Jioni inapofika nuru itakuwepo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Itakuwa siku ya kipekee, isiyo na mchana wala usiku, siku ijulikanayo na bwana. Jioni inapofika nuru itakuwepo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 lakini itakuwa siku moja, iliyojulikana na BWANA; si mchana, wala si usiku; lakini itakuwa, ya kwamba wakati wa jioni kutakuwako nuru. Tazama sura |