Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zekaria 12:13 - Swahili Revised Union Version

13 jamaa ya nyumba ya Lawi peke yao, na wake zao peke yao; jamaa ya nyumba ya Shimei peke yao, na wake zao peke yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 ukoo wa Lawi peke yake na ukoo wa Shimei peke yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 ukoo wa Lawi peke yake na ukoo wa Shimei peke yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 ukoo wa Lawi peke yake na ukoo wa Shimei peke yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 ukoo wa nyumba ya Lawi na wake zao, ukoo wa Shimei na wake zao,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 ukoo wa nyumba ya Lawi na wake zao, ukoo wa Shimei na wake zao,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 jamaa ya nyumba ya Lawi peke yao, na wake zao peke yao; jamaa ya nyumba ya Shimei peke yao, na wake zao peke yao.

Tazama sura Nakili




Zekaria 12:13
16 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mfalme Daudi alipofika Bahurimu, tazama, kulitoka huko mtu wa jamaa ya nyumba ya Sauli, jina lake akiitwa Shimei, mwana wa Gera; alitoka, akalaani alipokuwa akienda.


Ila Sadoki, kuhani, na Benaya, mwana wa Yehoyada, na Nathani, nabii, na Shimei, na Rei, na mashujaa wa Daudi, hao hawakuwa pamoja na Adonia.


Na wana wa Shimei; Yahathi, na Zina, na Yeushi, na Beria. Hao wanne walikuwa wana wa Shimei.


Wa Wagershoni; Ladani, na Shimei.


Na wana wa Pedaya; Zerubabeli, na Shimei; na wana wa Zerubabeli; Meshulamu na Hanania; na Shelomithi alikuwa dada yao;


Naye Shimei alikuwa na wana wa kiume kumi na sita, na wana wa kike sita; lakini nduguze walikuwa hawana watoto wengi, tena jamaa yao yote haikuongezeka sana kama wana wa Yuda.


na wa wana wa Hemani, Yehueli na Shimei; na wa wana wa Yeduthuni, Shemaya na Uzieli.


Nayo nchi itaomboleza, kila jamaa peke yake; jamaa ya nyumba ya Daudi peke yao, na wake zao peke yao; jamaa ya nyumba ya Nathani peke yao, na wake zao peke yao;


Jamaa zote zilizosalia, kila jamaa peke yake, na wake zao peke yao.


Na majina ya wana wa Gershoni kwa jamaa zao ni Libni na Shimei.


Na wana wa Kohathi kwa jamaa zao ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Na wana wa Merari kwa jamaa zao ni Mahli, na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kwa nyumba za baba zao.


Katika Gershoni walikuwa jamaa ya Walibni, na jamaa ya Washimei, hawa ndio jamaa za Wagershoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo