Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 92:2 - Swahili Revised Union Version

2 Kuzitangaza rehema zako asubuhi, Na uaminifu wako wakati wa usiku.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Ni vema kutangaza fadhili zako asubuhi, na uaminifu wako nyakati za usiku,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Ni vema kutangaza fadhili zako asubuhi, na uaminifu wako nyakati za usiku,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Ni vema kutangaza fadhili zako asubuhi, na uaminifu wako nyakati za usiku,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 kuutangaza upendo wako asubuhi, na uaminifu wako wakati wa usiku,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 kuutangaza upendo wako asubuhi, na uaminifu wako wakati wa usiku,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Kuzitangaza rehema zako asubuhi, Na uaminifu wako wakati wa usiku.

Tazama sura Nakili




Zaburi 92:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Tena Daudi na makamanda wa jeshi wakatenga kwa utumishi baadhi ya wana wa Asafu, na wa Hemani, na wa Yeduthuni, watakaotabiri kwa vinubi na vinanda, na matoazi; hii ndiyo hesabu ya wafanya kazi kulingana na utumishi wao;


Wala hapana asemaye, Yuko wapi Mungu Muumba wangu, Awapaye nyimbo wakati wa usiku;


Rehema na hukumu nitaziimba, Ee BWANA, nitakuimbia zaburi.


Kila siku nitakuhimidi, Nitalisifu jina lako milele na milele.


Haleluya. Msifuni Bwana; Maana ni vema kumwimbia Mungu wetu sifa, Maana ni mwenye fadhili, na anastahili kuimbiwa sifa.


Mchana BWANA ataagiza fadhili zake, na usiku wimbo wake utakuwa nami, Naam, maombi kwa Mungu aliye uhai wangu.


Lakini mimi nitakutumainia daima Na nitaendelea kukusifu zaidi na zaidi.


Katika siku ya taabu yangu nilimtafuta Bwana; Mkono wangu ulinyoshwa usiku, bila kulegea; Nafsi yangu ilikataa kufarijika.


Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.


Nitautaja wema wa BWANA, sifa za BWANA kwa yote aliyotukirimia BWANA; na wingi wa wema wake kwa nyumba ya Israeli, aliowakirimia kwa rehema zake, na kwa wingi wa wema wake.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.


Lakini ilipokuwa karibu usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za kumsifu, na wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo